-
Yohana 9:11Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
11 Yeye akajibu: “Mtu aitwaye Yesu alifanya udongo wa mfinyanzi akaupaka juu ya macho yangu na kuniambia, ‘Nenda hadi Siloamu ukajioshe.’ Kwa hiyo nikaenda nikajiosha na kupata kuona.”
-