-
Yohana 18:25Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
25 Sasa Simoni Petro alikuwa amesimama akijipasha moto. Ndipo wakamwambia: “Wewe pia si mmoja wa wanafunzi wake, ndivyo?” Yeye akakana hilo na kusema: “Mimi siye.”
-