-
Yohana 21:12Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
12 Yesu akawaambia: “Njoni, twaeni kifungua-kinywa chenu.” Hakuna hata mmoja wa wanafunzi aliyekuwa na moyo wa kuulizia habari kwake: “Wewe ni nani?” kwa sababu walijua alikuwa Bwana.
-