Maelezo ya Chini
c Baada tu ya mkimbizi kufika eneo la kigeni, wazee wanapaswa kufuata mwongozo unaopatikana katika kitabu Tengenezo Linalofanya Mapenzi ya Yehova, sura ya 8, fungu la 30. Wazee wanaweza kuwasiliana na makutaniko katika nchi nyingine kwa kutuma barua kwenye ofisi yao ya tawi kupitia jw.org. Wakati huohuo, wanaweza kumwuliza mkimbizi huyo maswali kwa busara kuhusu huduma na kutaniko ambalo ametoka ili kujua hali yake ya kiroho.