Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Uaminifu-Maadili wa Ayubu Wathawabishwa
    Mnara wa Mlinzi—1998 | Mei 1
    • Kwanza, Yehova aliponya maradhi yake yenye kuogopwa. Kisha, ndugu, dada, na washiriki wa Ayubu wa zamani wakaja kumfariji, “kila mtu akampa kipande cha fedha, na pete ya dhahabu kila mmoja.”a

  • Uaminifu-Maadili wa Ayubu Wathawabishwa
    Mnara wa Mlinzi—1998 | Mei 1
    • a Thamani ya “kipande cha fedha” (Kiebrania, qesi·tahʹ) haiwezi kujulikana. Lakini wakati wa Yakobo, “vipande mia vya fedha” vilinunua eneo kubwa la shamba. (Yoshua 24:32) Kwa hiyo, yaelekea “kipande cha fedha” kutoka kwa kila mgeni kilikuwa zawadi kubwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki