-
Mtawala wa Ulimwengu Asiyeonekana AfunuliwaMnara wa Mlinzi—2011 | Septemba 1
-
-
Wanafarijiwa na maneno haya ya Paulo kwa Wakristo wenzake: “Mungu anayetoa amani atamponda Shetani chini ya miguu yenu upesi.”b—Waroma 16:20.
-
-
Mtawala wa Ulimwengu Asiyeonekana AfunuliwaMnara wa Mlinzi—2011 | Septemba 1
-
-
b Maneno ya Paulo kwenye mstari huo yanarejelea unabii wa kwanza wa Biblia ulio katika Mwanzo 3:15 ambao unaeleza kuhusu kuangamizwa kwa Ibilisi. Ili kueleza tukio hilo, Paulo alitumia neno la Kigiriki linalomaanisha “kuvunja-vunja, kutikisa-tikisa, kuvunja vipande-vipande kwa kuponda.”—Vine’s Complete Expository Dictionary of Old and New Testament Words.
-