-
Kuponda Kichwa cha NyokaUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
Basi, kumbuka hayawani-mwitu rangi-nyekundu-nyangavu, mwenye vichwa saba ambaye “alikuwako, lakini hayuko, na bado yu karibu kupanda nje ya abiso.” (Ufunuo 17:8, NW) Alipokuwa katika abiso, ‘alikuwa hayuko.’ Alikuwa hatendi, hajongei, kwa madhumuni na makusudi yote alikuwa amekufa. Hali kadhalika, mtume Paulo akinena juu ya Yesu, alisema: “‘Ni nani atakayeshuka kuingia ndani ya abiso?’ yaani, kumleta juu Kristo kutoka kwa wafu.” (Warumi 10:7, NW) Akiwa katika abiso hiyo, Yesu alikuwa amekufa.a
-
-
Kuponda Kichwa cha NyokaUfunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
-
-
a Maandiko mengine husema kwamba Yesu alikuwa katika Hadesi alipokuwa mfu. (Matendo 2:31, NW) Hata hivyo, haitupasi kukata maneno kwamba Hadesi na abiso sikuzote ni kitu kile kile. Ingawa hayawani-mwitu na Shetani huenda ndani ya abiso, ni wanadamu pekee ndio husemwa kuwa wanaenda kwenye Hadesi, wanamokuwa wamelala katika kifo mpaka ufufuo wao.—Ayubu 14:13; Ufunuo 20:13, NW.
-