Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kuwalea Watoto Katika Ulimwengu Wenye Uendekevu
    Mnara wa Mlinzi—2008 | Aprili 1
    • Mtungaji mwenye kuheshimika wa vitabu kuhusu kuwalea watoto anasema hivi: “Ingawa hawaonyeshi sikuzote kwamba wanathamini na huenda hawatakushukuru wakati huo, kwa kweli wanataka wazazi wawape ulinzi na mwongozo imara maishani. Sisi wazazi tunaweza kufanya hivyo kwa kuchukua mamlaka yetu kwa uzito na kuweka mipaka kuhusu tabia.”

  • Kuwalea Watoto Katika Ulimwengu Wenye Uendekevu
    Mnara wa Mlinzi—2008 | Aprili 1
    • Gazeti fulani (Parents) linasema hivi: “Uchunguzi . . . umeonyesha kwamba watoto wanaolelewa na wazazi wenye upendo lakini wanaotumia mamlaka yao ifaavyo—wazazi wanaowategemeza watoto wao lakini wanaoweka mipaka imara—wanafanya vyema shuleni, wana uhusiano mzuri na watu wengine, wanajiheshimu, na kwa ujumla wana furaha zaidi kuliko watoto ambao wazazi wao wanawaendekeza au ni wakali kupita kiasi.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki