Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kuhubiri Hadharani na Kutoka Nyumba Hadi Nyumba
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Kisha, wafanyakazi wachungajia wangezuru, wakifuatia majina ya wale walioandikwa na makolpota au waliokuja kwenye mikutano ya watu wote. Walijitahidi kuchochea tamaa ya kusoma fasihi, wakawatia moyo wale waliopendezwa wahudhurie hotuba zilizopangwa kipekee, na wakafanya jitihada za kupanga madarasa kwa ajili ya funzo la Biblia la Kiberoya. Ilipowezekana, makolpota wangeeneza sehemu ileile tena, na kisha wafanyakazi wa uchungaji wangefuatilia ili kuwasiliana na wale walioonyesha kupendezwa. Baadaye, wafanyakazi wengine wa darasa wangezuru nyumba zilezile wakiwa na bidhaa za kujitolea, kama vile walivyoita trakti na fasihi nyinginezo za bure walizotoa.

  • Kuhubiri Hadharani na Kutoka Nyumba Hadi Nyumba
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • a Kazi ya uchungaji ilipangwa kwanza wakati wa 1915-1916 katika makutaniko 500 hivi yaliyokuwa yamemchagua Ndugu Russell kuwa pasta wao. Akiwa pasta, alikuwa amewaandikia barua akionyesha muhtasari wa kazi, ambayo hapo kwanza ilihusisha akina dada tu. Mwaka uliofuata akina ndugu pia walihusishwa katika utendaji huo. Kazi hiyo ya uchungaji, iliyofanywa na kikundi kilichochaguliwa, iliendelea hadi 1921

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki