Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Iweni Wavunaji Wenye Furaha!
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Julai 15
    • 17 “Mashahidi wote wa Yehova wapaswa kuwa tayari kuongoza mafunzo ya kigezo ya Biblia.” Maneno hayo yalikuwa katika kijitabu cha tatu katika mfululizo wa vijitabu viitwavyo Funzo la Kigezo (Model Study) vilivyochapishwa kuanzia mwaka wa 1937 hadi 1941. Kijitabu hicho kiliendelea kusema: “Watangazaji wote [wa Ufalme] wapaswa kuwa na bidii kuwasaidia katika kila njia iwezekanayo watu wenye nia njema wanaopendezwa na ujumbe wa Ufalme. Wapaswa kuwarudia watu hao na kujibu maswali mbalimbali . . . , kisha kuanzisha funzo la kigezo . . . haraka iwezekanavyo.” Naam, tunafanya ziara za kurudia tukiwa na mradi wa kuanzisha funzo la Biblia nyumbani na kuliongoza kwa ukawaida.a

  • Iweni Wavunaji Wenye Furaha!
    Mnara wa Mlinzi—2001 | Julai 15
    • a Kwanza, mafunzo yalipangwa katika sehemu ambako vikundi vya watu wanaopendezwa wangeweza kukusanywa pamoja. Hata hivyo, muda si muda mafunzo pia yalifanywa na watu mmoja-mmoja au familia—Ona kichapo Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu, ukurasa wa 574, kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki