Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nchi Ambazo Zilikuwa Sehemu ya Yugoslavia
    2009 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • Osman Šaćirbegović anakumbuka hili: “Polisi walituhoji mara nyingi na kutuita waoga kwa kuwa hatukupigana ili kulinda familia zetu.”

      Osman alikuwa akiwaambia polisi hivi: “Bunduki zenu zinawalinda, sivyo?”

      Kisha polisi wangejibu, “Bila shaka.”

      “Je, mnaweza kukubali kubadilisha bunduki zenu kwa mizinga ili mwe salama zaidi?”

      “Ndiyo.”

      “Je, mnaweza kukubali kubadilisha mizinga kwa vifaru?”

      “Bila shaka.”

      Kisha Osman aliwaambia: “Mngefanya yote hayo ili mwe salama zaidi. Mimi ninalindwa na Yehova, Mungu mweza-yote, Muumba wa ulimwengu wote. Je, kuna ulinzi bora zaidi kuliko huo?” Jibu lilikuwa wazi, na baada ya hapo polisi wangemwacha.

  • Nchi Ambazo Zilikuwa Sehemu ya Yugoslavia
    2009 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • Haikuwa rahisi kutenganishwa kwa miaka mingi hivyo. Osman anasema: “Wanafunzi wangu wa Biblia hawakuwa wamewahi kuhudhuria kusanyiko wala mikutano wakati wa ziara ya mwangalizi wa mzunguko. Tulizungumza mara nyingi kuhusu wakati ambapo tutaweza kufurahia undugu wetu.”

  • Nchi Ambazo Zilikuwa Sehemu ya Yugoslavia
    2009 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • Majirani huko Bihać waliona jinsi akina ndugu walivyotunzana, kama vile kwa kurekebisha madirisha yaliyovunjika. Osman anasema: “Jambo hilo liliwavutia majirani wangu, kwa kuwa walijua hatuna pesa. Ulikuwa ushahidi mkubwa sana, na bado wanauzungumzia.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki