Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Rumania
    2006 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • 1920: Ofisi ya tawi yafunguliwa huko Cluj-Napoca. Ofisi hiyo yasimamia kazi nchini Albania, Bulgaria, Hungaria, Rumania, na nchi iliyoitwa Yugoslavia.

      1924: Kiwanda cha uchapaji na majengo kwa ajili ya ofisi ya tawi yanunuliwa huko Cluj-Napoca.

      1929: Kazi yasimamiwa na ofisi ya tawi ya Ujerumani na baadaye na Ofisi ya Tawi ya Ulaya ya Kati huko Uswisi.

      1938: Serikali yafunga kabisa ofisi ya tawi ya Rumania, huko Bucharest.

  • Rumania
    2006 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • 1949: Serikali ya kikomunisti yawapiga marufuku Mashahidi wa Yehova na kutwaa mali zote za ofisi ya tawi.

  • Rumania
    2006 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • 1995: Ofisi ya tawi ya Rumania yafunguliwa upya huko Bucharest.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki