Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Rwanda
    2012 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • Mnamo Mei 2000, Rwanda ikawa ofisi ya tawi, na muda mfupi baadaye, ndugu wakapata uwanja mzuri ambapo wangejenga ofisi ya tawi ili kushughulikia kazi iliyokuwa inaongezeka kwa kasi nchini Rwanda.

  • Rwanda
    2012 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • MATUKIO MUHIMU YA KITHEOKRASI

      Kuhusiana na ofisi mpya ya tawi, Ofisi ya Uhandisi ya Kimkoa nchini Afrika Kusini ilichora ramani za ujenzi, na mjenzi fulani wa Rwanda akaajiriwa kufanya kazi hiyo. Wajitoleaji wa kimataifa walisaidia, na Mashahidi wengi wa Rwanda walijitolea kusaidia kutengeneza bustani na kumalizia kazi nyinginezo. Licha ya matatizo fulani-fulani, familia ya Betheli ilihamia jengo hilo maridadi mwezi wa Machi 2006. Baadaye mwaka huo, Guy Pierce wa Baraza Linaloongoza pamoja na mke wake, alikuja kwa ajili ya programu ya pekee ya kuwekwa wakfu kwa jengo hilo mnamo Desemba 2, 2006. Ndugu 553, kutia ndani wajumbe 112 kutoka nchi 15, walihudhuria programu hiyo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki