Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nchi Ambazo Zilikuwa Sehemu ya Yugoslavia
    2009 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • MATESO WAKATI WA VITA

      Mnamo Aprili 6, 1941, jeshi la Ujerumani lilishambulia Yugoslavia. Ofisi ya tawi iliharibiwa na ndege za kivita zilizoshambulia sana Belgrade. Wanajeshi wa Ujerumani waliigawanya nchi ya Yugoslavia. Kwa muda fulani, vita vilikatiza mawasiliano kati ya ndugu wa Betheli ya Serbia na ndugu wa Slovenia, Kroatia, na Makedonia. Hali ilikuwa mbaya zaidi kwa ndugu waliokuwa upande wa kusini kabisa wa Makedonia, kwa kuwa hawangeweza tena kuwasiliana baada ya vita.

  • Nchi Ambazo Zilikuwa Sehemu ya Yugoslavia
    2009 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • Ofisi ya Belgrade ilifungwa, na kazi ya kuwagawia akina ndugu chakula cha kiroho ilipangiwa Zagreb, Kroatia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki