-
Matukio Muhimu ya Mwaka Uliopita2011 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Programu ya kuwekwa wakfu isiyoweza kusahaulika ilifanywa katika ofisi ya tawi ya Estonia Jumamosi (Siku ya Posho), ApriliĀ 3, 2010. Watu 438 waliohudhuria walifurahia kabisa programu hiyo, ambayo ilitia ndani hotuba ya kuwekwa wakfu iliyotolewa na Christian Muntean, kutoka katika ofisi ya tawi ya Ugiriki. Jengo la orofa mbili, lililokuwa kwenye uwanja kando ya ofisi hiyo, lilikuwa limenunuliwa kutoka kwa kampuni ya maji ya eneo hilo. Jengo hilo lililorekebishwa linatia ndani studio za kurekodi sauti na video na vilevile darasa la shule, kama vile Shule ya Biblia ya Ndugu Waseja.
-
-
Matukio Muhimu ya Mwaka Uliopita2011 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
[Picha katika ukurasa wa 36]
Ofisi ya tawi ya Estonia ilipanuliwa
-