-
“Uwe Mfuasi Wangu”—Yesu Alimaanisha Nini Aliposema Maneno Hayo?‘Njoo Uwe Mfuasi Wangu’
-
-
a Yesu hakumwambia kila mtu aliyemfuata aache mali zake zote. Na ingawa alisema ingekuwa vigumu sana kwa tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu, aliongeza hivi: “Mambo yote yanawezekana kwa Mungu.” (Marko 10:23, 27) Kwa kweli, baadhi ya wafuasi wa Kristo walikuwa matajiri. Walipata mashauri hususa katika kutaniko la Kikristo, lakini hawakuagizwa wawape maskini mali zao zote.—1 Timotheo 6:17.
-
-
“Uwe Mfuasi Wangu”—Yesu Alimaanisha Nini Aliposema Maneno Hayo?‘Njoo Uwe Mfuasi Wangu’
-
-
Yesu alimwambia: “Nenda, ukauze vitu ulivyo navyo uwape maskini.” (Marko 10:21) Je, Yesu alimaanisha kwamba ni lazima mtu awe maskini ili amtumikie Mungu? Hapana.a
-