-
Jamhuri Ya Kongo (Brazzaville)2004 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehovah
-
-
Wakati huo, kulikuwa na mishonari watano ambao waliishi katika nyumba moja ya mishonari huko Brazzaville. Mnamo Aprili 1997, mishonari wengine wanne walipowasili makao mengine ya mishonari yalifunguliwa huko Pointe-Noire.
-
-
Jamhuri Ya Kongo (Brazzaville)2004 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehovah
-
-
Vita vilipokaribia jiji la Kinshasa, mishonari walilazimika kuhama. Kwa hiyo, mwishoni mwa Mei, mishonari waliotoka Kinshasa walikuwa wakitumikia kwa bidii pamoja na mishonari wenzao huko Brazzaville na Pointe-Noire.
-