-
Nchi Ambazo Zilikuwa Sehemu ya Yugoslavia2009 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
WAFANYAKAZI WALIOJIDHABIHU
Muda mfupi kabla ya kusanyiko la kimataifa la mwaka wa 1991, wamishonari wa kwanza waliozoezwa Gileadi, Daniel na Helen Nizan, kutoka Kanada, walifika nchini.
-
-
Nchi Ambazo Zilikuwa Sehemu ya Yugoslavia2009 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Baadaye, tengenezo la Yehova lilituma wamishonari zaidi ili kuwaimarisha na kuwatia moyo akina ndugu. Watumishi hao wa wakati wote wenye bidii wamesaidia sana shambani na katika makutaniko.
-