-
Kutahini na Kupepeta Kuanzia NdaniMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Wakitegemea wazo la kwamba labda matukio ya karne ya kwanza yangepata ufanani katika matukio mengine baadaye, walifanya mkataa pia kwamba ikiwa kubatizwa na kutiwa mafuta kwa Yesu katika vuli ya 29 W.K. kulifanana na mwanzo wa kuwapo kwake kusikoonekana katika 1874, basi kupanda kwake punda kuingia Yerusalemu akiwa Mfalme katika masika ya 33 W.K. kungeelekeza kwenye masika ya 1878 kuwa wakati ambao angepata uwezo wake akiwa Mfalme wa kimbingu.e Wao walifikiri pia kwamba wangepewa zawadi yao ya kimbingu wakati huo. Hilo lilipokosa kutukia, walifanya mkataa kwamba kwa kuwa wafuasi wa Yesu watiwa-mafuta wangeshiriki naye katika Ufalme, ufufuo kwenye uhai wa roho wa wale ambao tayari wanalala katika kifo ulianza wakati huo.
-
-
Kutahini na Kupepeta Kuanzia NdaniMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
e Jambo la kwamba 1878 ulikuwa mwaka wa maana lilionekana kuwa likitegemezwa na rejezo kwenye Yeremia 16:18 (‘kifani cha Yakobo,’ KJ) pamoja na hesabu zilizoonyesha kwamba miaka 1,845 ilikuwa imepita tangu kifo cha Yakobo hadi kufikia 33 W.K., wakati Israeli wa asili walipotupiliwa mbali, na kwamba ufanani, au mithili, ya hayo ingeenea kuanzia 33 W.K. hadi kufikia 1878.
-
-
Kutahini na Kupepeta Kuanzia NdaniMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
h Ona “The Truth Shall Make You Free,” sura ya 11; “The Kingdom Is at Hand,” kurasa 171-175; pia The Golden Age, Machi 27, 1935, kurasa 391, 412. Kwa kutumia majedwali hayo ya kronolojia ya Biblia yaliyosahihishwa, ingeweza kuonwa kwamba utumizi wa hapo awali wa tarehe 1873 na 1878, pamoja na tarehe zinazohusiana zinazotokana na hizo kwa msingi wa ufanani mbalimbali wa matukio ya karne ya kwanza, ulitegemea kutokuelewa.
-