-
Kujulisha Habari Njema Bila Kuacha (1942-1975)Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
“Kikundi cha waangalizi wa kutaniko,” akataarifu, “kingefanyiza ‘baraza la wanaume wazee’ . . . Washiriki wa ‘baraza [au, kusanyiko] hilo la wanaume wazee’ walikuwa sawa wote, wakiwa na cheo rasmi kilekile, na hapana mmoja wao aliyekuwa mshiriki wa maana zaidi, mashuhuri zaidi, mwenye uwezo zaidi katika kutaniko.” (1 Tim. 4:14, NW)
-
-
Kujulisha Habari Njema Bila Kuacha (1942-1975)Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Mzee mmoja angewekwa kuwa mwenyekiti,j lakini wazee wote wangekuwa na mamlaka sawa na kushiriki madaraka ya kufanya maamuzi.
-