Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kujulisha Habari Njema Bila Kuacha (1942-1975)
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Mzee mmoja angewekwa kuwa mwenyekiti,j lakini wazee wote wangekuwa na mamlaka sawa na kushiriki madaraka ya kufanya maamuzi.

  • Kujulisha Habari Njema Bila Kuacha (1942-1975)
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Mwaka uliofuata, katika Septemba 1972, kupokezana zamu kwa mara ya kwanza katika makutaniko kukaanza, na kufikia Oktoba 1 kupokezana zamu katika makutaniko mengi zaidi kukawa kumekamilika.

  • Kujulisha Habari Njema Bila Kuacha (1942-1975)
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • j Msemaji alieleza pia kwamba kuanzia Oktoba 1, 1972, kungekuwako kupokezana zamu kila mwaka kwa uenyekiti ndani ya baraza la wazee wa kutaniko. Mpango huo ulirekebishwa katika 1983, wakati kila baraza la wazee lilipoombwa lipendekeze mwangalizi msimamizi ambaye, baada ya kuwekwa na Sosaiti, angetumikia kwa kipindi cha wakati kisicho dhahiri akiwa mwenyekiti wa baraza la wazee.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki