-
Ni Nani Chanzo Halisi cha Uchawi?Amkeni!—2011 | Februari
-
-
“Hamwezi kuwa mkishiriki ‘meza ya Yehova’ na meza ya roho waovu.” (1 Wakorintho 10:21, 22) Wale wote wanaompenda Yehova kikweli wataepuka kabisa vitabu, sinema, na michezo ya kompyuta iliyo na mambo ya uchawi au inayochochea mazoea na imani zinazohusiana na uchawi.a Zaburi 101:3 inasema: “Sitaweka mbele ya macho yangu kitu chochote kisichofaa.” Zaidi ya hilo, mara nyingi burudani zinazohusisha uchawi hutukuza jeuri na mwenendo mpotovu, ambao ‘wale wanaompenda Yehova’ wanapaswa kukataa kabisa.—Zaburi 97:10.
-
-
Ni Nani Chanzo Halisi cha Uchawi?Amkeni!—2011 | Februari
-
-
a Dhamiri za watu hutofautiana, ikitegemea malezi ya kidini na pia ukomavu wa kiroho. Jambo kuu ni kwamba kila mtu anapaswa kudumisha dhamiri safi mbele za Mungu na asisumbue dhamiri za watu wengine kutia ndani watu wa familia. Waroma 14:10, 12 linasema kwamba “sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu.”
-