-
Kazi ya Kujitolea Yenye Faida ya KudumuAmkeni!—2001 | Julai 22
-
-
Kwa kuwa Biblia yasihi Wakristo ‘wafuate hatua za Yesu kwa ukaribu,’ Wakristo wa kweli wana mwongozo ulio wazi inapohusu kazi ya kujitolea ambayo inapasa kutangulizwa. (1 Petro 2:21) Kama Yesu, wao wanasaidia watu wenye uhitaji—jinsi ilivyosimuliwa hapo awali. Vilevile kama Yesu, wao wanatanguliza kazi ya kufundisha ujumbe wa Biblia juu ya habari njema za Ufalme wa Mungu.a (Mathayo 5:14-16; 24:14; 28:19, 20)
-
-
Kazi ya Kujitolea Yenye Faida ya KudumuAmkeni!—2001 | Julai 22
-
-
a Mashahidi wa Yehova huiona kazi yao ya kuhubiri kuwa ya lazima kwa Wakristo wa kweli—kama alivyofanya mtume Paulo. Yeye alisema hivi: “Ikiwa, sasa, ninatangaza habari njema, hiyo si sababu ya mimi kujisifu, kwa maana nimewekewa sharti.” (1 Wakorintho 9:16) Hata hivyo, kazi yao ya kuhubiri ni kazi ya kujitolea kwa sababu wamechagua kwa hiari kuwa wanafunzi wa Kristo, wakijua kabisa madaraka yanayoambatana na pendeleo hilo.
-