Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Wakristo Hupata Furaha Kutumikia
    Mnara wa Mlinzi—2000 | Novemba 15
    • Isitoshe, wakiwa kikundi, wao ni “ukuhani mtakatifu,” waliopewa wajibu wa “kutoa dhabihu za kiroho zenye kukubalika kwa Mungu kupitia Yesu Kristo” na ‘kutangaza kotekote sifa bora kabisa za yeye aliyewaita kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.’ (1 Petro 2:5, 9) Kama Paulo, wanafurahia mapendeleo hayo hata ‘wanapojimwaga’ katika kutimiza wajibu wao mbalimbali. Na wenzao “kondoo wengine” hujiunga nao na huwaunga mkono katika kazi ya kuwajulisha wanadamu kuhusu Yehova na makusudi yake.b (Yohana 10:16; Mathayo 24:14) Ni utumishi wa watu wote mtukufu na wenye kufurahisha kama nini!—Zaburi 107:21, 22.

  • Wakristo Hupata Furaha Kutumikia
    Mnara wa Mlinzi—2000 | Novemba 15
    • b Katika Matendo 13:2, inasemwa kwamba manabii na walimu huko Antiokia walikuwa “wakimhudumia Yehova hadharani” (tafsiri ya neno la Kigiriki linalohusiana na lei·tour·giʹa). Yaelekea, huduma hiyo ya hadharani ilitia ndani kuhubiria watu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki