-
Yesu Awatuma Wanafunzi 70Mnara wa Mlinzi—1998 | Machi 1
-
-
Mara nyingi, Mashahidi wa Yehova huonekana wakihubiri wawili-wawili. Je, mengi zaidi hayangetimizwa ikiwa kila mmoja wao angehubiri peke yake? Labda. Hata hivyo, Wakristo leo hutambua manufaa za kuhubiri sambamba na mwamini mwenzao. Hilo hutoa kadiri fulani ya kinga watoapo ushahidi katika maeneo hatari. Kuhubiri pamoja na mwenzi pia huwawezesha wapya zaidi kunufaika na ustadi wa wahubiri wa habari njema wenye uzoefu. Kwa kweli, wote wawili waweza kuchangia badilishano la kitia-moyo.—Mithali 27:17.
-
-
Yesu Awatuma Wanafunzi 70Mnara wa Mlinzi—1998 | Machi 1
-
-
Lakini kwa nini aliwatuma “wawili-wawili”? Kwa wazi, ni ili kwamba wapate kutiana moyo walipokabili upinzani.
-