-
Mashahidi Hata Mwisho wa NchiMnara wa Mlinzi—1996 | Juni 15
-
-
“Tukihubiri nyumba hadi nyumba, tulikutana na J——, ambaye ni katekista. ‘Asanteni kwa kunitia ndani katika ziara zenu,’ akasema. Tulimwonyesha fasihi zetu na jinsi ya kuzitumia. Siku iliyofuata alitujia, akataka kujifunza kuhusu jina la Yehova. Tulimwonyesha elezo katika kielezi-chini katika Biblia yake mwenyewe ya Kigreenland. Tulipoondoka, alipigia simu marafiki wetu katika Nuuk ili kuwatolea shukrani zake kwa ziara yetu. Ni lazima tujaribu kuendelea kumsaidia mtu huyu.
-
-
Mashahidi Hata Mwisho wa NchiMnara wa Mlinzi—1996 | Juni 15
-
-
“Katika mojawapo vijiji vidogo hivyo, tulikutana na katekista mwingine, M——, nasi tukawa na mazungumzo yenye kupendeza. Alijitolea kuhakikisha kwamba wanaume waliokuwa nje wakiwinda watapokea fasihi zetu mara warudipo. Kwa hiyo sasa yeye ndiye ‘mtangazaji’ wetu katika mahali hapo pa mbali.”
-