Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kazi za Yehova—Kubwa na za Ajabu
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • na malaika saba wakiwa na tauni saba waliibuka kutoka patakatifu, wakiwa wamevaa kitani safi, nyangavu na wamefunga kifuani mishipi ya dhahabu.

  • Kazi za Yehova—Kubwa na za Ajabu
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • Ufunuo 15:5-

  • Kazi za Yehova—Kubwa na za Ajabu
    Ufunuo—Upeo Wao Mtukufu U Karibu!
    • Pia, huvaa mishipi ya dhahabu. Kwa kawaida mishipi inatumiwa wakati mtu anapojifunga mwenyewe kwa ajili ya kazi inayopasa kutimizwa. (Walawi 8:7, 13; 1 Samweli 2:18; Luka 12:37; Yohana 13:4, 5) Kwa hiyo malaika wamejifunga mishipi kwa ajili ya kutimiza mgawo. Zaidi ya hayo, mishipi yao ni ya dhahabu. Katika tabenakulo ya kale, dhahabu ilitumiwa kuwakilisha vitu vya kimungu, vya kimbingu. (Waebrania 9:4, 11, 12) Hiyo inamaanisha kwamba malaika hawa wana utume wa utumishi wa kimungu, wenye thamani sana kuufanya.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki