-
Guyana2005 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Akina dada walikuwa Margaret Dooknie,
-
-
Guyana2005 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Ndugu Ponting anasema: “Margaret Dooknie, ambaye hakukumbuka miaka ambayo alikuwa amefanya utumishi wa upainia, alikuwa akitembea na kuchoka sana hivi kwamba nyakati nyingine tulimkuta amelalia benchi kwenye bustani. Hatutawasahau kamwe watu kama hao.”
-