-
Hakuna Kitu Kinachoweza “Kututenga na Upendo wa Mungu”Mkaribie Yehova
-
-
Lakini nywele zenyewe za kichwa chenu zimehesabiwa zote.
“Nyinyi ni bora zaidi kuliko shore wengi”
-
-
Hakuna Kitu Kinachoweza “Kututenga na Upendo wa Mungu”Mkaribie Yehova
-
-
“Nyinyi ni bora zaidi kuliko shore wengi”
-
-
Hakuna Kitu Kinachoweza “Kututenga na Upendo wa Mungu”Mkaribie Yehova
-
-
Kama Yesu alivyoeleza, Yehova anatujua vizuri sana. Kwani, hata nywele za kichwa chetu zimehesabiwa zote!
6. Kwa nini tuna hakika kwamba Yesu hakutia chumvi aliposema kwamba nywele za kichwa chetu zimehesabiwa?
6 Je, kweli nywele zetu zimehesabiwa? Huenda wengine wakadhani kwamba Yesu alitia chumvi. Hata hivyo, hebu fikiria tumaini la ufufuo. Ni lazima Yehova awe anatujua vizuri sana ili aweze kutuumba upya! Anatuthamini sana hivi kwamba anakumbuka kila jambo, hata chembe zetu za urithi, kumbukumbu na ujuzi wetu wa maisha yetu yote.a Kichwa cha wastani huwa na nywele 100,000 hivi, kwa hiyo kuhesabu nywele za vichwa vyetu ni jambo rahisi sana ikilinganishwa na kukumbuka mambo hayo yote.
-