-
“Sheria ya Bwana Ni Kamilifu”Mkaribie Yehova
-
-
Sheria iliwasaidia watu wa Mungu kutofautisha vitu safi na visivyo safi, ilitaja vitu 70 hivi ambavyo vingemfanya Mwisraeli awe najisi. Sheria hizo zilihusu usafi wa mwili, chakula, na hata kufunika kinyesi. Sheria hizo zililinda kabisa afya yao.a
-
-
“Sheria ya Bwana Ni Kamilifu”Mkaribie Yehova
-
-
a Kwa mfano, sheria zilizoamuru kinyesi cha mwanadamu kifunikwe, wagonjwa watengwe, na mtu yeyote anayegusa maiti aoge, zilikuwapo muda mrefu kabla ya manufaa yake kutambuliwa.—Mambo ya Walawi 13:4-8; Hesabu 19:11-13, 17-19; Kumbukumbu la Torati 23:13, 14.
-