Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kukua Katika Ujuzi Sahihi Juu ya Kweli
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Katika 1876, Russell alipokuwa amesoma kwa mara ya kwanza nakala ya Herald of the Morning, alikuwa amejifunza kwamba kulikuwa kikundi kingine ambacho wakati huo kiliamini kwamba kurudi kwa Kristo kungekuwa kusikoonekana na ambacho kilishirikisha kurudi huko na baraka kwa ajili ya familia zote za dunia. Kutokana na Bw. Barbour, mhariri wa kichapo hicho, Russell akaja pia kushawishwa kwamba kuwapo kusikoonekana kwa Kristo kulikuwa kumeanza katika 1874.i

  • Kukua Katika Ujuzi Sahihi Juu ya Kweli
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Mapema katika 1876, C. T. Russell alipokea nakala moja ya Herald of the Morning. Mara hiyo yeye aliandikia Barbour kisha akatumia wakati pamoja naye katika Philadelphia wakati wa kiangazi, wakizungumzia, miongoni mwa mambo mengine, vipindi vya wakati wa kiunabii. Muda mfupi baada ya hapo, katika makala moja yenye kichwa “Nyakati za Mataifa: Zakoma Wakati Gani?,” Russell pia alitoa sababu juu ya habari hiyo kwa kutumia Maandiko akataarifu kwamba uthibitisho ulionyesha kwamba “nyakati saba zitakoma katika A.D. 1914.” Makala hiyo ilichapwa katika toleo la Oktoba 1876 la Bible Examiner.j

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki