Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • ‘Iweni Matajiri Katika Kazi Zilizo Bora’
    Huduma ya Ufalme—2002 | Machi
    • 11 Shirikiana na Wazee Kusaidia Wasiotenda: Wazee wangependa sana kuhangaikia wasiotenda kwa upendo. Wengi wao tayari wameanza kuhudhuria mikutano tena bila kuchochewa na mtu yeyote. Wametambua uhitaji wa kushirikiana kwa ukaribu na tengenezo la Yehova ili wawe na usalama wa kiroho unaoelezwa katika Zaburi 91. Baadhi yao sasa wako tayari kushiriki katika utumishi wa shambani tena. Ikiwa kuna wasiotenda ambao watahudhuria Ukumbusho mwezi huu, huenda wakakubali kujifunza Biblia. Ikitukia hivyo, wazee watafanya mipango ili mtu fulani ajifunze na wale wanaohitaji msaada. Ukiombwa usaidie, jitihada zako zitathaminiwa na wazee.—Rom. 15:1, 2.

  • “Zawadi Zikiwa Wanadamu” Huchunga Kundi la Mungu kwa Hamu
    Huduma ya Ufalme—2002 | Machi
    • 7 “Zawadi zikiwa wanadamu” wanajua kabisa mahitaji ya kiroho ya ndugu zao wakati huu wa mwaka—majira ya Ukumbusho. Huu ni wakati unaofaa kama nini kwa wazee kujitahidi zaidi kusaidia wote ambao wamekengeuka kufurahia tena shangwe na amani ya akili inayotokana na kushirikiana kwa uchangamfu na kutaniko! Tunafurahi tunapoona watu kama hao ambao “katika imani ni jamaa zetu” wakiwa kwenye mikutano ya kutaniko na katika huduma, wakionyesha tena imani yao katika dhabihu ya fidia.—Gal. 6:10; Luka 15:4-7; Yn. 10:11, 14.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki