Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kuhuburi na Kufundisha Ulimwenguni Pote
    2008 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • Kosta Rika

      Katika nchi hiyo, kuna Wahindi wa Guaymi 10,000 hivi, ambao wanaishi hasa katika mji mdogo wa Sixaola ulio karibu na mpaka wa Panama. Wenyeji wengi wamependezwa na kujifunza Biblia. Ili kushughulikia mahitaji ya kiroho ya watu hao, wenzi wa ndoa ambao ni mapainia wa pekee walitumwa kwenye eneo hilo. Wameanza kujifunza lugha ya huko. Mambo mengi yametimizwa kwa msaada wa ndugu na dada 26 Waguaymi. Kwa mara ya kwanza, Ukumbusho ulifanywa katika lugha ya Guaymi, na kulikuwa na hudhurio la watu 264. Tangu wakati huo, kumekuwa na ongezeko kubwa. Kwa mfano, watu 20 hivi walikuwa wakihudhuria Funzo la Kitabu la Kutaniko lenye wahubiri 13. Sasa idadi hiyo imeongezeka na kuwa watu 40. Kwa sababu hiyo, vikundi viwili zaidi vya Funzo la Kitabu la Kutaniko vimeanzishwa.

  • Kuhuburi na Kufundisha Ulimwenguni Pote
    2008 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • [Picha katika ukurasa wa 49]

      Funzo la Kitabu la Kutaniko huko Sixaola, Kosta Rika

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki