-
Mapendekezo ya Kutoa BroshuaHuduma ya Ufalme—2005 | Julai
-
-
Mhubiri kijana anaweza kusema:
“Vijana wengi wa rika langu wanajiuliza jinsi ulimwengu utakavyokuwa miaka 10 au 15 ijayo. Unafikiri ulimwengu utakuwaje wakati huo? [Mruhusu ajibu.] Matatizo tunayoona leo yanaonyesha kwamba tunaishi katika siku za mwisho. [Soma 2 Timotheo 3:1-3.] Broshua hii inajibu maswali haya. [Soma maswali yaliyo kwenye jalada, kisha umtolee broshua.] Ningependa kurudi, ikiwa utakuwa na dakika chache, ili nikuonyeshe habari fulani yenye kutia moyo kuhusu mwisho wa magonjwa na kuzeeka.” Fanya mpango wa kurudi.
-
-
Mapendekezo ya Kutoa BroshuaHuduma ya Ufalme—2005 | Julai
-
-
Mhubiri kijana anaweza kusema:
“Vijana wengi wa rika langu hawajui maisha yatakuwaje wakati ujao. Unafikiri maisha ya kizazi kinachokuja yatakuwa bora? [Mruhusu ajibu.] Biblia inasema kwamba wanadamu wote watakuwa na wakati ujao mzuri. [Mwonyeshe picha kwenye ukurasa wa 31, na usome maelezo ya picha. Kisha usome 2 Petro 3:13.] Broshua hii inazungumzia baraka ambazo Mungu atawaletea wanadamu. [Kazia vichwa vidogo vyenye herufi nzito kwenye ukurasa wa 29-30, na umtolee broshua hiyo.] Ningependa kurudi tena ili nikuonyeshe ahadi ya Mungu ya kukomesha vita vyote.” Panga kurudi.
-