Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mashahidi wa Yehova Wanaamini Nini?
    Amkeni!—2010 | Agosti
    • 2. Muumba Mungu wa kweli amejipa jina la kibinafsi—Yehova (au Yahweh, kama linavyopatikana katika Biblia Jerusalem Bible ya Wakatoliki na baadhi ya wasomi wa kisasa wanavyotaka kuita jina hilo)—ili ajitofautishe na miungu ya uwongo.a (Zaburi 83:18) Jina hilo la Mungu katika Kiebrania linapatikana mara 7,000 katika maandishi ya awali ya Maandiko. Akikazia umuhimu wa jina hilo, Yesu alisema hivi katika sala ya kielelezo: “Jina lako litukuzwe.” (Mathayo 6:9, Union version) Mungu anataka watu wajitoe kwake kikamili. Hivyo, Mashahidi hawatumii sanamu katika ibada yao.—1 Yohana 5:21.

  • Mashahidi wa Yehova Wanaamini Nini?
    Amkeni!—2010 | Agosti
    • a Mashahidi wa Yehova hawakujitungia jina “Yehova.” Karne nyingi zilizopita, lugha kadhaa ambazo hazikutumiwa kuandika Biblia kutia ndani Kiingereza na Kijerumani, zilitumia jina la Mungu “Yehova.” Jambo la kusikitisha ni kwamba watafsiri wa kisasa wameliondoa jina la Mungu na badala yake kutumia majina ya cheo kama vile, “Mungu” na “Bwana,” hivyo wakimkosea heshima Mtungaji wa Biblia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki