Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mungu Anataka Tufanye Nini?
    Mnara wa Mlinzi—1997 | Januari 15
    • Damu huwakilisha uhai. Kwa hiyo, damu ni takatifu pia machoni pa Mungu. (Mambo ya Walawi 17:14) Basi, si ajabu kwamba Mungu atazamia tuone uhai na damu jinsi anavyoviona.

  • Mungu Anataka Tufanye Nini?
    Mnara wa Mlinzi—1997 | Januari 15
    • Kwa sababu twamsikiliza Mungu asemapo ‘jiepusheni na damu,’ haturuhusu damu itiwe miilini mwetu. (Matendo 15:28, 29) Ingawa twapenda uhai, hatutajaribu kuokoa uhai wetu wa sasa kwa kuvunja sheria ya Mungu na hivyo kuhatarisha taraja letu la uhai udumuo milele!—Mathayo 16:25.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki