-
Nchi Ambazo Zilikuwa Sehemu ya Yugoslavia2009 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Ijumaa, Julai 23, 1999, ni siku itakayokumbukwa kwa muda mrefu na Mashahidi wa Yehova huko Kroatia, vilevile Bosnia na Herzegovina, Montenegro, Serbia, na Makedonia. Kwenye Makusanyiko yote manne ya Wilaya ya “Neno la Mungu la Kiunabii,” Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo ilitolewa katika Kikroatia na Kiserbia, na wahudhuriaji wakaambiwa kwamba kazi ya kutafsiri Biblia ya Kimakedonia inaendelea vizuri.
-
-
Nchi Ambazo Zilikuwa Sehemu ya Yugoslavia2009 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Biblia yote nzima ilitolewa katika mwaka wa 2006 katika lugha hizo tatu.
-