Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nchi Ambazo Zilikuwa Sehemu ya Yugoslavia
    2009 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • WAVUKA KUINGIA MAKEDONIA

      Alfred na Frida Tuček, ambao walikuwa mapainia, walieneza ujumbe wa Ufalme walipokuwa wakisafiri kutoka Slovenia kwenda Bulgaria. Katika mji wa Strumica, Makedonia, walimhubiria mwenye duka mmoja anayeitwa Dimitar Jovanovič, na kumwazima vitabu fulani. Mwezi mmoja baadaye, walipokuwa wakirudi kutoka Bulgaria, walimtembelea tena. Waliposikia kwamba hakusoma vitabu hivyo, walimwomba avirudishe ili wampe mtu mwingine ambaye angevithamini. Hilo lilimchochea Dimitar kuvisoma. Akawasihi wampe nafasi nyingine ya kusoma vitabu hivyo.

  • Nchi Ambazo Zilikuwa Sehemu ya Yugoslavia
    2009 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • [Picha katika ukurasa wa 157]

      Alfred na Frida Tuček wakiwa na baiskeli zao

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki