-
Mazungumzo ya Kumalizia Pamoja na Wale Wanaotaka KubatizwaTengenezo Linalofanya Mapenzi ya Yehova
-
-
madokezo ya jinsi anavyoweza kuendelea kuwa na ratiba nzuri ya funzo la kibinafsi na usomaji wa Biblia kila siku, ibada ya familia ya kila juma, kuhudhuria na kushiriki mikutano kwa uaminifu, na kushiriki utumishi wa shambani kila juma. (Efe. 5:15, 16) Ikiwa hajamaliza kujifunza kitabu Furahia Maisha Milele! wazee wanapaswa kufanya mipango ili mhubiri fulani amsaidie kumalizia. Wazee wanapaswa kumpongeza kwa upendo. Kwa kawaida, shauri au pendekezo moja au mawili yanatosha.
-
-
FahirisiTengenezo Linalofanya Mapenzi ya Yehova
-
-
Fahirisi
Zingatia: Marejeo mengi yaliyo hapa chini yameonyeshwa kwa namba ya sura ikifuatwa na namba ya fungu. Kwa mfano, rejeo la kwanza chini ya “Baraza Linaloongoza” ni “kulitambua: 3:1-6.” Hii inamaanisha kwamba habari zinazohusu kulitambua Baraza Linaloongoza zinapatikana katika Sura ya 3, fungu la 1 hadi la 6.
Baraza Linaloongoza
kulitambua: 3:1-6
kulitumaini: 3:12-15
sababu za kufuata mwongozo wa: 3:9-11; 4:9-11
Dada
ikiwa hakuna ndugu anayestahili: 6:9; 7:23
kujitolea kwa ajili ya ujenzi: 10:21
shule za kitheokrasi: 10:17-18
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo: 7:14-18
Eneo
la kikundi na la kibinafsi: 9:31-34
lenye lugha nyingi: 9:36-38
rekodi: 9:31
Funzo la Mnara wa Mlinzi: 7:11-13
Halmashauri
ya Nchi: 5:53
ya Uendeshaji wa Jumba la Ufalme: 11:8
ya Uhusiano na Hospitali: 5:40
ya Utumishi ya Kutaniko: 5:35
Halmashauri ya Uhusiano na Hospitali na Vikundi vya Kuwatembelea Wagonjwa: 5:40
Halmashauri ya utumishi
-