-
Hakuna Kitu Kinachoweza “Kututenga na Upendo wa Mungu”Mkaribie Yehova
-
-
Hata hivyo, hebu fikiria tumaini la ufufuo. Ni lazima Yehova awe anatujua vizuri sana ili aweze kutuumba upya! Anatuthamini sana hivi kwamba anakumbuka kila jambo, hata chembe zetu za urithi, kumbukumbu na ujuzi wetu wa maisha yetu yote.a
-
-
Hakuna Kitu Kinachoweza “Kututenga na Upendo wa Mungu”Mkaribie Yehova
-
-
a Mara nyingi Biblia huhusianisha tumaini la ufufuo na kumbukumbu la Yehova. Yobu aliyekuwa mwaminifu alimwambia Yehova hivi: “Laiti . . . ungeniandikia muda ulioamriwa, na kunikumbuka!” (Ayubu 14:13) Yesu alisema kwamba “wote wale waliomo ndani ya makaburi ya ukumbusho” watafufuliwa. Hilo ni kweli kwa sababu Yehova anawakumbuka kabisa wafu ambao anakusudia kuwafufua.—Yohana 5:28, 29.
-