-
Kupiga Mbiu ya Kurudi kwa BwanaMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Kutangazwa kwa kweli za Biblia kulichukua hatua ya maana ya kusonga mbele katika 1886 kwa kutolewa kwa buku la kwanza la mfululizo ulioahidiwa wa vitabu viitwavyo Millennial Dawn, vilivyoandikwa na C. T. Russell. Buku la kwanza liliitwa The Divine Plan of the Ages. Lilikuwa na mafunzo juu ya vichwa 16 vya habari, kama vile “Kuwako kwa Muumba Mkuu Zaidi Mwenye Akili Kwathibitishwa,” “Biblia Ikiwa Ufunuo wa Kimungu Ikionwa kwa Kutumia Akili,” “Kurudi kwa Bwana Wetu—Lengo Lako, Rudisho la Vitu Vyote,” na “Kuruhusiwa kwa Uovu na Uhusiano Wako na Mpango wa Mungu.” Hatimaye, C. T. Russell aliandika mabuku mengine matano ya mfululizo huu wa Millennial Dawn.e
-
-
Kupiga Mbiu ya Kurudi kwa BwanaMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
e Yalikuwa: Buku 2, The Time Is at Hand (1889); Buku 3, Thy Kingdom Come (1891); Buku 4, The Day of Vengeance (1897; baadaye likaitwa The Battle of Armageddon); Buku 5, The At-one-ment Between God and Man (1899); na Buku 6, The New Creation (1904). Wakati mabuku hayo ya Millennial Dawn yalipoanza kuitwa Studies in the Scriptures, Buku 1 liliitwa “Mfululizo 1,” Buku 2 likawa “Mfululizo 2,” na kadhalika. Jina Studies in the Scriptures lilitumiwa katika chapa chache kuanzia kama Oktoba 1904, na jina hilo jipya lilitumiwa kwa kawaida zaidi kuanzia 1906.
-
-
Kupiga Mbiu ya Kurudi kwa BwanaMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
[Picha katika ukurasa wa 52]
C. T. Russell aliandika mabuku sita ya “Millennial Dawn” (1886 hadi 1904) na trakti, vijitabu, na makala za “Watch Tower” kwa kipindi cha zaidi ya miaka 37
-