-
Ombi Lilelile Ulimwenguni PoteMnara wa Mlinzi—2008 | Januari 1
-
-
Katika dini ya Kiyahudi, kuna sala inayotolewa kila siku katika masinagogi au mtu anapofiwa na mtu wa karibu wa familia yake. Ingawa haitaji kifo au maombolezo moja kwa moja, kwa kawaida inasemwa mtu anapofiwa. Sala hiyo ina ombi hili: “[Mungu] na asimamishe Ufalme wake maishani mwako . . . hata upesi zaidi.”a
-
-
Ombi Lilelile Ulimwenguni PoteMnara wa Mlinzi—2008 | Januari 1
-
-
a Kama ile sala ya kielelezo ambayo Yesu alitoa, sala ya Kiyahudi pia ina ombi la kwamba jina la Mungu litakaswe. Ingawa kuna ubishi kuhusu ikiwa sala hiyo ya Kiyahudi ilianza wakati wa Kristo au hata mapema zaidi, hatupaswi kushangaa kwamba inafanana na ile sala ya kielelezo. Sala ya Yesu haikukusudiwa iwe mpya na ya pekee. Sala hizo mbili zilitegemea kabisa Maandiko ambayo Wayahudi wote walikuwa nayo wakati huo.
-