-
Biblia Katika Lugha ya Maisha ya Kila SikuAmkeni!—1997 | Aprili 8
-
-
Mnara wa Mlinzi la Kiingereza la Septemba 15, 1950, lilisema hivi: “Wanaume wafanyizao halmashauri ya utafsiri wameeleza tamaa yao . . . ya kubaki bila kujulikana, na hawataki kimahususi majina yao yatangazwe wakiwa wangali hai wala baada ya kifo. Kusudi la hiyo tafsiri ni kulikweza jina la Mungu wa kweli, aliye hai.”
-
-
Biblia Katika Lugha ya Maisha ya Kila SikuAmkeni!—1997 | Aprili 8
-
-
Yajapokuwa makusudio mazuri bila shaka, je, washiriki wa halmashauri hiyo walikuwa na sifa za ustahili za kufanya kazi hiyo? Wasomi fulani wasioridhika walijadili kwamba pasipo kufunuliwa kwa majina ya watafsiri na ustahili wao wa kielimu, bila kukawia, tafsiri hiyo yapaswa kuachiwa mbali, kuwa kazi iliyofanywa na watu wasio stadi. Lakini si wasomi wote ambao wamechukua msimamo huo usioonyesha kiasi. Alan S. Duthie aandika hivi: “Tukijua ni nani walio watafsiri au wachapishaji wa tafsiri ya Biblia fulani, je, hilo hutusaidia tuamue kama tafsiri hiyo ni nzuri au mbaya? Si moja kwa moja. Hakuna njia ya badala ya kuchunguza sifa za kila tafsiri yenyewe.”a
-
-
Biblia Katika Lugha ya Maisha ya Kila SikuAmkeni!—1997 | Aprili 8
-
-
a Kwa kupendeza, jalada la Chapa Yenye Marejezo (1971) ya New American Standard Bible vilevile lilitaarifu hivi: “Hatukutumia jina la msomi yeyote la kurejezewa ama kupendekezwa kwa sababu ni itikadi yetu kwamba Neno la Mungu lapaswa likadiriwe kwa msingi wa ustahili walo lenyewe.”
-