-
Jinsi Yesu Anavyoutukuza Uadilifu wa MunguMnara wa Mlinzi—2010 | Agosti 15
-
-
Alipobatizwa, Yesu alikuwa akisali na huenda alikuwa akitafakari kuhusu maneno ya kinabii ya Zaburi 40:6-8.—Luka 3:21; soma Waebrania 10:5-10.a
-
-
Jinsi Yesu Anavyoutukuza Uadilifu wa MunguMnara wa Mlinzi—2010 | Agosti 15
-
-
a Katika andiko hilo mtume Paulo anarudia maneno ya Zaburi 40:6-8 kulingana na tafsiri ya Kigiriki ya Septuajinti, ambayo inataja maneno “ulinitayarishia mwili.” Maneno hayo hayapatikani katika hati zilizopo za Maandiko ya kale ya Kiebrania.
-