Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Rumania
    2006 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • Wakati huohuo, wengi waliongeza utumishi wao na baadhi yao kama vile Mihai Nistor na Vasile Sabadâş wakawa mapainia.

  • Rumania
    2006 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • Vasile Sabadâş pia aliendelea kuwa painia ijapokuwa alilazimika kuhama mara nyingi. Alisaidia hasa kuwatafuta na kuwasaidia ndugu waliotawanywa na Idara ya Usalama ya serikali mpya ya Kikomunisti. Vasile alisema: “Ili nisikamatwe ilinibidi kujihadhari na kubuni mbinu mpya. Kwa mfano, nilipotaka kusafiri hadi sehemu nyingine ya nchi, nilitafuta sababu hususa za kusafiri, kama vile pendekezo la daktari la kwenda mahali fulani kutibiwa.

      “Kwa sababu sikushukiwa, nilifaulu kupata njia za kuwasiliana na ndugu ili wapate chakula cha kiroho kwa ukawaida. Andiko lililonichochea ni Isaya 6:8: ‘Mimi hapa! Nitume mimi,’ na pia Mathayo 6:33: ‘Endeleeni kuutafuta kwanza ufalme.’ Maandiko hayo yalinipa shangwe na kunitia nguvu kuvumilia.” Vasile alihitaji sifa hizo, kwa sababu licha ya kujihadhari, hatimaye angekamatwa kama wengine wengi.

  • Rumania
    2006 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
    • [Picha katika ukurasa wa 112]

      Vasile Sabadâş

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki