Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waangalizi Wanaoongoza—Mwandishi
    Huduma ya Ufalme—1998 | Oktoba
    • 4 Mhubiri anapohamia kutanikoni au kulihama, mwandishi huomba au kupelekea wazee wa kutaniko lile jingine barua ya kumjulisha pamoja na kadi zake za Rekodi ya Kutaniko ya Mhubiri.—Huduma Yetu, uku. 104-105.

  • Waangalizi Wanaoongoza—Mwandishi
    Huduma ya Ufalme—1998 | Oktoba
    • 2 Barua ipokewapo kutoka kwa Sosaiti au kwa wengine, mwandishi huishughulikia na kuhakikisha kwamba yajibiwa inapohitajika. Yeye huhakikisha kwamba barua zinazopokewa zapitishwa miongoni mwa wazee kisha aziweka kwenye faili kwa ajili ya marejezeo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki