Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • “Na Tunyoshe Mambo”
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • a Kwa mujibu wa mapokeo ya kale ya Wayahudi, Mfalme Manase mwovu alifanya Isaya auawe, akatwe vipande-vipande kwa msumeno. (Linganisha Waebrania 11:37.) Chanzo kimoja chasema kuwa nabii fulani asiye wa kweli alileta mashtaka yafuatayo juu ya Isaya, ili apewe adhabu hiyo ya kifo: “Ameliita Yerusalemu Sodoma, naye amewatangaza wakuu wa Yuda na Yerusalemu (kuwa) watu wa Gomora.”

  • “Na Tunyoshe Mambo”
    Unabii wa Isaya I—Nuru kwa Wanadamu Wote
    • Laanza hivi: “Lisikieni neno la BWANA, enyi waamuzi wa Sodoma; tegeni masikio msikie sheria ya Mungu wetu, enyi watu wa Gomora.”—Isaya 1:10.

      2 Sodoma na Gomora yaliharibiwa, si kwa sababu ya mazoea yao mapotovu ya kingono tu, bali pia kwa sababu ya mitazamo yao ya ugumu wa moyo na yenye kiburi. (Mwanzo 18:20, 21; 19:4, 5, 23-25; Ezekieli 16:49, 50) Watu wanaomsikiliza Isaya lazima wanashtuka kusikia wakilinganishwa na watu wa majiji hayo yaliyolaaniwa.a

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki