Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ratiba ya Shule ya Huduma ya Kitheokrasi ya 2009
    Huduma ya Ufalme—2008 | Oktoba
    • Dakika 10. Mzee, au mtumishi wa huduma anayestahili, atumie dakika nne za kwanza kuzungumzia mambo makuu ya usomaji wa Biblia wa juma hilo. Utaratibu huo utabadilika tu wakati usomaji wa Biblia wa juma hilo unaanza na sura ya kwanza ya kitabu cha Biblia. Wakati huo, anapaswa kutumia dakika nne za kwanza kuzungumzia mambo makuu kutoka katika kitabu “Kila Andiko.”

  • Ratiba ya Shule ya Huduma ya Kitheokrasi ya 2009
    Huduma ya Ufalme—2008 | Oktoba
    • Msemaji anapaswa kuwa mwangalifu asipite zile dakika zake nne za kwanza. Anapaswa kuhakikisha kwamba anawaachia wasikilizaji dakika sita ili watoe maelezo mafupi yasiyozidi sekunde 30 kuhusu mambo yaliyowapendeza katika usomaji wa Biblia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki