-
Ratiba ya Shule ya Huduma ya Kitheokrasi ya 2009Huduma ya Ufalme—2008 | Oktoba
-
-
Dakika 10. Mzee, au mtumishi wa huduma anayestahili, atumie dakika nne za kwanza kuzungumzia mambo makuu ya usomaji wa Biblia wa juma hilo. Utaratibu huo utabadilika tu wakati usomaji wa Biblia wa juma hilo unaanza na sura ya kwanza ya kitabu cha Biblia. Wakati huo, anapaswa kutumia dakika nne za kwanza kuzungumzia mambo makuu kutoka katika kitabu “Kila Andiko.”
-
-
Ratiba ya Shule ya Huduma ya Kitheokrasi ya 2009Huduma ya Ufalme—2008 | Oktoba
-
-
Msemaji anapaswa kuwa mwangalifu asipite zile dakika zake nne za kwanza. Anapaswa kuhakikisha kwamba anawaachia wasikilizaji dakika sita ili watoe maelezo mafupi yasiyozidi sekunde 30 kuhusu mambo yaliyowapendeza katika usomaji wa Biblia.
-