-
Rwanda2012 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
Isitoshe, Ndugu Rwakabubu alitafsiri broshua “Habari Njema Hizi za Ufalme” yenye kurasa 32 katika Kinyarwanda. Ilichapishwa mwaka wa 1976 na kusomwa na watu wengi. Watu waliisoma waliposafiri na walipokuwa barabarani. Matumizi ya jina Yehova yaliwachochea wengi kutaka kujua zaidi.
-
-
Rwanda2012 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova
-
-
[Picha katika ukurasa wa 171]
Habari Njema Hizi za Ufalme katika Kinyarwanda
-