Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kujulisha Habari Njema Bila Kuacha (1942-1975)
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Mkutano huo wa pamoja ulifunguliwa kwa sala, na baada ya ufikirio wa uangalifu, Ndugu Knorr alichaguliwa kwa umoja awe msimamizi wa mashirika yote mawili na Hayden C. Covington mwenye umri wa miaka 30, aliyekuwa wakili wa Sosaiti, akachaguliwa kuwa makamu wa msimamizi.b

  • Kujulisha Habari Njema Bila Kuacha (1942-1975)
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Hayden Covington, akiwa wakili wa kisheria wa Sosaiti, alielekeza vita ya kisheria, nyakati nyingine kutoka katika ofisi yake kwenye makao makuu ya Brooklyn na nyakati nyingine kutoka katika magarimoshi alipokuwa akisafiri kushughulikia kesi za mahakama. Akifanya kazi pamoja na wanasheria wenyeji kama vile Victor Schmidt, Grover Powell, na Victor Blackwell, Ndugu Covington alipiga vita vigumu ili kuthibitisha haki za kikatiba za Mashahidi wa Yehova za kuhubiri nyumba hadi nyumba na kugawanya fasihi ya Biblia bila kuzuiwa na wakuu wenyeji.c

  • Kujulisha Habari Njema Bila Kuacha (1942-1975)
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • b Katika Septemba 1945, Ndugu Covington alikataa kwa moyo mzuri kutumikia zaidi akiwa makamu wa msimamizi wa Watch Tower Bible and Tract Society (ya Pennsylvania), akieleza kwamba alitaka kukubaliana na yaliyoeleweka wakati huo kuwa mapenzi ya Yehova kwa washiriki wote wa baraza la waelekezi na maofisa—kwamba wawe Wakristo waliotiwa mafuta kwa roho, hali yeye alidai kuwa mmoja wa “kondoo wengine.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki